ASKOFU BAGONZA ATAJA MAMBO 5 KUELEKEA MARIDHIANO ! MAGAZETI YA LEO DEC MWAKA 2025 NA ARUSHA24TV.
Karibu Arusha24tv leo Dec 22 Mwaka 2025 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma . Mwisho .
BODA BODA KARANSI SIHA WAONYWA KUKIUKA UTARATIBU WA UENDESHAJI
Na Bahati Siha . Madereva wa bodaboda katika eneo la Karansi, Wilaya ya Siha mkoani. Kilimanjaro, wametakiwa kuzingatia sheria na utaratibu wa kuwa na kituo kimoja cha kazi ili kuepusha…
MAFUNZO YA TAEC YAIMARISHA USALAMA WA HUDUMA ZA MIONZI KATIKA HOSPITALI NCHINI
Na Geofrey Stephen Arusha . Wataalamu wa huduma za mionzi katika vituo mbalimbali vya afya nchini wamekumbushwa umuhimu wa kutumia viwango sahihi vya mionzi ili kulinda afya ya wagonjwa pamoja…
Wizara ya Fedha Yasisitiza Weledi wa Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi katika Kufikia Dira ya Taifa 2050
Na Geofrey Stephen Arusha .Wizara ya Fedha imewataka wataalamu wa Ununuzi na Ugavi nchini kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uadilifu na kwa kuzingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050,…
MAPINDUZI YA ELIMU YA JUU YASHIKA KASI, VYUO VYAHIMIZWA KUPANUA MATAWI
Na Geofrey Stephen Arusha . Serikali imevihimiza vyuo vya elimu ya juu nchini kufungua matawi katika kila mkoa ili kusogeza huduma ya elimu karibu na wananchi, kupunguza uhamiaji wa vijana…
YAO YAO KUASSI KUREJEA YANGA DIRISHA DOGO , SIMBA YATANGAZA KOCHA MPYA ! MAGAZETI YA LEO DEC 20 MWAKA 2025 NA ARUSHA24TV .
Juma mosi ya leo Dec 20 Mwaka 2025 karibu Arusha24rv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Jiji la Arusha Lasimama Imara: Hakuna Nyongeza ya Muda kwa Miradi ya Kimkakati
Na Geofrey Stephen Arusha. Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha umeweka msimamo mkali kwa wakandarasi na wasimamizi wa miradi ya maendeleo, ukisisitiza kuwa hakutakuwa na nyongeza ya muda kwa…
Wanafunzi Burunge WMA kulinda uhifadhi
Mwandishi.wetu Wanafunzi 40 walioteuliwa kuwa Mabalozi wa Uhifadhi na Utalii, wilayani Babati mkoa Manyara, wameahidi kuyalinda mapito ya wanyama(shoroba) ya kwakuchinja,yaliyopo katika eneo la Hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya…
KIFO CHA DADA WA KAZI SABABU YA MAGARI KUCHOMWA MOTO MOROGORO ! MAGAZETI YA LEO DEC 19 MWAKA NA 2025 A24TV .
Karibu Arusha24tv leo Ijumaa Dec 19 Mwaka 2025 karibu kutazama kilicho Andikwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho...
BABA LEVO AKWAA KISIKI KESI YAKE YA UBUNGE DHIDIBYA ZITO KABWE KUENDELEA ! MAGAZETI YA LEO DEC 18 MWAKA 2025 NA ARUSHA24TV .
Dec 18 Mwaka 2025 karibu Arusha24tv kutazama kilicho andikwa katika magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho .
