JAMHURI YAONDOA PINGAMIZI DHIDI YA MPINA ! MAGAZETI YA LEO. SEPT 4 MWAKA 2025 NA A24TV .COM

Karibu Arusha 24rv leo Sept 4 Mw kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv.                               Mwisho .

Geofrey Stephen

CHADEMA YATANGAZA MSIMAMO MZITO ! MAGAZETI YA LEO SEPT 3 MWAKA 2025 NA A24TV.COM

Karibu Arusha24tv leo Sept 3 Mwaka 2025 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv.                              Mwisho.  

Geofrey Stephen

Juma Jani mgombea udiwani Kata ya Sanya juu Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, azindua kampeni, kwa ahadi mbali mbali ikiwamo ujenzi wa soko la kisasa

Siha, Mgombea udiwani Kata ya Sanya juu Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro,kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Juma Jani,ameahidi kujenga Soko la Kisasa ili wafanya biashara waweze kufanya biashara zao katika mazingira…

Geofrey Stephen

MBIVU MBICHI MPINA KUWANIA URAIS KUJULIKANA LEO ! MAGAZETI YA LEO SEPT 2 MWAKA 2025 NA A24TV

Karibu Arusha24tv leo Sept 12 Mwaka 2025 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv.                        Mwisho .

Geofrey Stephen

JOSHUA MBELE YA MAELFU YA WANANCHI WAKE MMI NI MBUNGE WA VITENDO SIYO WA POSHO ”

  Wananchi wa Arumeru Mashariki Waonyesha Imani Kubwa kwa Joshua Nasari Wananchi wa Arumeru Mashariki wameonyesha imani kubwa kwa mgombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joshua Nasari, mara baada…

Geofrey Stephen

Tani 27, 550  za ufuta zenye thamani ya bilioni 80 zimeuzwa

Na Mwandishi Wetu, Mtwara TANI 27,550 za ufuta zenye thamani ya sh bilioni 80 zimeuzwa na wakulima wa Mtwara, kupitia minada inayofanyika kwa kutumia mfumo wa Soko la Bidhaa Nchini…

a24tv

Fanyeni kazi kwa bidii kulinda taswira ya TARURA

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Wafanyakazi wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii  ili waweze kulinda taswira nzuri ya Wakala huo.…

a24tv

Afrika ijadili changamoto sekta ya utalii – UN

Afrika ijadili changamoto za Sekta ya utalii-UN Na Mwandishi Wetu- Zambia KATIBU  Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN Tourism),Zurab Pololikashvili amezitaka nchi za Afrika kuzungumzia…

a24tv

Kadi za mpiga kura zenye jina la zamani la Tume ni halali

Na Mwandishi Wetu Kadi za mpiga kura zilizotolewa mwaka 2015 na 2020 ni halali na zitaendelea kutumika kwenye chaguzi kuu zijazo bila kujali mabadiliko ya jina la Tume ya Uchaguzi…

a24tv

Dada wa kazi aliyejeruhi akamatwa

Na Lucy Lyatuu JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam  limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa  aliyekuwa mfanyakazi wa  ndani aitwaye Clemensia Cosmas Mirembe (19) akiwa amejificha kwenye "pagala” maeneo ya…

a24tv