Tanzania, na Taasisi ya BVGH kuimarisha huduma za saratani
Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Bioventure for Global Health (BVGH) ya nchini Marekani ili kuimarisha huduma za Saratani nchini Tanzania. Makubaliano hayo…
TASU yaiomba serikali inunue meli kutoa ajira kwa mabaharia
Na Lucy Ngowi CHAMA cha Mabaharia Tanzania (TASU), kinaiomba serikali inunue au kutengeneza meli hata moja kwa ajili ya mizigo nje ya nchi na kuileta Tanzania ili vijana wanaomaliza vyuo…
TASU yaiomba serikali inunue kutoa ajira kwa mabaharia
⇑Na Lucy Ngowi CHAMA cha Mabaharia Tanzania (TASU), kinaiomba serikali inunue au kutengeneza meli hata moja kwa ajili ya mizigo nje ya nchi na kuileta Tanzania ili vijana wanaomaliza vyuo…
‘Viswaswadu’ kutumika kuboresha daftari la wapiga kura
Na Mwandishi Wetu Wapiga kura waliopo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wataweza kutumia simu zao ndogo za mkononi jina maarufu vitochi ama viswaswadu kuanzisha mchakato wa kuboresha au…
Kongani za viwanda kutoa ajira nchini.
Lucy Lyatuu PWANI: SERIKALI imesema kongani ya viwanda ya SINO TAN iliyopo eneo la Kwala.mkoa wa Pwani inatarajiwa kujenga viwanda mbalimbali vipatavyo 600 na kutoa ajira kwa Watanzania zaidi ya…
Wiki ya kudhibiti bidhaa bandia kuhitimishwa DSM
Na Lucy Ngowi WIKI ya kudhibiti bidhaa bandia duniani hapa nchini yanaadhimishwa kesho mkoani Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), William Erio amesema hayo alipozungumza na…
Kanisa lakabidhi jengo la watoto la milioni 595 kwa serikali
Na Lucy Ngowi KANISA la Watakatifu wa Siku za Mwisho limekabidhi jengo lenye thamani ya sh milioni 595 la kuhudumia watoto lililopo Kituo cha Afya Kimara kwa Wilaya ya Ubungo…
HATUNA HURUMA NA WADANGANYIFU KWENYE MITIHANI – WAZIRI MKENDA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema katika Chuo Kikuu ukikamatwa umedanganya kwenye mtihani adhabu yake ni kufukuzwa chuo moja kwa moja, na yeye kama Waziri…