DATTIEKO INVESTMENT inaendelea kujikita katika utoaji wa suluhisho za mifumo ya umwagiliaji na teknolojia za kisasa za kilimo, kwa lengo la kuwawezesha wakulima kuongeza uzalishaji, kutumia rasilimali kwa ufanisi na kupata mavuno yenye tija.
Tunakukaribisha kutembelea banda letu katika Maonyesho ya Nane Nane au ofisi zetu ili upate ushauri wa kitaalamu kuhusu mifumo ya umwagiliaji na teknolojia za kisasa za kilimo.
Kwa mawasiliano:
0764888846
Pia tunapatikana kupitia Instagram, Facebook, na mitandao mingine ya kijamii.
info@dattieko.co.tz
www.dattieko.co.tz
DATTIEKO INVESTMENT – Suluhisho za kisasa kwa kilimo chenye tija.







Mwisho .
