Tani 27, 550  za ufuta zenye thamani ya bilioni 80 zimeuzwa

Na Mwandishi Wetu, Mtwara TANI 27,550 za ufuta zenye thamani ya sh bilioni 80 zimeuzwa na wakulima wa Mtwara, kupitia minada inayofanyika kwa kutumia mfumo wa Soko la Bidhaa Nchini (TMX). Ofisa usimamizi wa Fedha kutoka TMX Prince Philimon amesema hayo  wakati akizungumza na Mwandishi wa habari hii, kuhusu maendeleo ya minada ya ufuta ambayo inafanyika Mkoani hapa. Philimon amesema…

a24tv

Fanyeni kazi kwa bidii kulinda taswira ya TARURA

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Wafanyakazi wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii  ili waweze kulinda taswira nzuri ya Wakala huo. Rai hiyo imetolewa na Mtendaji Mkuu wa TARURA. Victor Seff wakati akizungumza na watumishi wa TARURA mkoa wa Kigoma wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani hapa. Seff amesema kufanya…

a24tv

Afrika ijadili changamoto sekta ya utalii – UN

Afrika ijadili changamoto za Sekta ya utalii-UN Na Mwandishi Wetu- Zambia KATIBU  Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN Tourism),Zurab Pololikashvili amezitaka nchi za Afrika kuzungumzia mustakabali wa Sekta ya utalii  na kujadili changamoto mbalimbali, Ikiwemo ya usafiri wa anga kuwezesha watalii kufika katika maeneo ya utalii na kuweka mikakati ya kukuza na kutangaza  utalii wa…

a24tv
- Sponsored -
Ad imageAd image
Weather
23°C
New York
clear sky
24° _ 21°
54%
5 km/h
Mon
25 °C
Tue
24 °C
Wed
25 °C
Thu
25 °C
Fri
23 °C

Follow US

Discover Categories

Entertainment

6 Articles

Technology

5 Articles

Travel

6 Articles

TASU yaiomba serikali inunue kutoa ajira kwa mabaharia

⇑Na Lucy Ngowi CHAMA cha Mabaharia Tanzania (TASU), kinaiomba serikali inunue au…

a24tv

‘Viswaswadu’ kutumika kuboresha daftari la wapiga kura

Na Mwandishi Wetu Wapiga kura waliopo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga…

a24tv

Kongani za viwanda kutoa ajira nchini.

Lucy Lyatuu PWANI: SERIKALI imesema kongani ya viwanda ya SINO TAN iliyopo…

a24tv

Wiki ya kudhibiti bidhaa bandia kuhitimishwa DSM

Na Lucy Ngowi WIKI ya kudhibiti bidhaa bandia duniani hapa nchini yanaadhimishwa…

a24tv

Kanisa lakabidhi jengo la watoto la milioni 595 kwa serikali

Na Lucy Ngowi KANISA la Watakatifu wa Siku za Mwisho limekabidhi jengo…

a24tv

HATUNA HURUMA NA WADANGANYIFU KWENYE MITIHANI – WAZIRI MKENDA

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema katika…

a24tv
Create an Amazing Newspaper
Discover thousands of options, easy to customize layouts, one-click to import demo and much more.

Sponsored Content

Global Coronavirus Cases

Confirmed

65.10M

Death

6.60M

More Information: Covid-19 Statistics

Sony WF-10XM4: Headphones Are Our Absolute Favorite

Modern technology has become a total phenomenon for civilization, the defining force of a new social order in which efficiency is no longer an option but a necessity imposed on all human…

‘Viswaswadu’ kutumika kuboresha daftari la wapiga kura

Na Mwandishi Wetu Wapiga kura waliopo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wataweza kutumia simu zao ndogo za mkononi jina maarufu vitochi ama viswaswadu kuanzisha mchakato wa kuboresha au…

a24tv