MKURUGENZI WA THE PICNIC LOUNGE ARUSHA, ANTHONY URASA, AUNGANA NA WAFANYAKAZI KUSHEREHEKEA MEI MOSI KWA SHANGWE KUBWA

Geofrey Steven
1 Min Read

Geofrey Stephen Arusha .

Arusha Mkurugenzi Mtendaji wa The Picnic Lounge jijini Arusha, Anthony Urasa, mapema leo amejumuika na wafanyakazi wake katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi). Tukio hilo lilijaa furaha na bashasha, huku wafanyakazi wakionyesha mshikamano na kufurahia uwepo wa kiongozi wao katika siku hii muhimu.

Kupitia picha mbalimbali, ilidhihirika wazi kuwa kulikuwa na hali ya upendo, umoja na kuthaminiana kati ya uongozi na wafanyakazi, jambo linaloendelea kuimarisha mahusiano kazini.
The Picnic Lounge ni moja kati ya sehemu maarufu jijini Arusha, ikijulikana kwa kutoa huduma bora kwa wateja wake, ikiwemo chakula, vinywaji pamoja na malazi ya viwango vya juu.
Habari Picha 17788
Habari Picha 17787
Habari Picha 17785
Habari Picha 17786
Habari Picha 17802
Habari Picha 17800
Habari Picha 17801
Habari Picha 17789
Habari Picha 17790
Habari Picha 17796
Habari Picha 17798
Habari Picha 17799
Habari Picha 17803
Habari Picha 17804
Habari Picha 17805
Habari Picha 17806
Share This Article
Leave a Comment