YASMIN BACHU AZINDUA KAMPENI ZA UDIWANI KATA OSUNYAI,AMNADI MGOMBEA NKO AMUOMBEA MAKONDA NA RAIS SAMIA KURA ZA KISHINDO

Geofrey Stephen
3 Min Read

 

Habari Picha 2706

Mjumbe wa kamati ya utekelezaji ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa Yasmin Bachu mapema leo amezindua kampeni za Mgombea wa CCM kata ya Osunyai Jijini Arusha huku akielezea mafanikio makubwa yaliofanywa na Serikali ya awamu ya Sita ya Dkt. Rais Samia Suluhu Hassan.

Habari Picha 2684
Habari Picha 2699
Habari Picha 2700
Habari Picha 2685
Habari Picha 2686
Habari Picha 2687
Habari Picha 2688
Habari Picha 2689

Bachu amefafanua kwamba Serikali imefanya mambo mengi sana hususani katika Afya Elimu na Miundo mbinu ya Bara bara ikiwemo katika kata ya Osunyai Jijini Arusha  hivyo wananchi wana sababu ya kuchagua Mafiga matatu akiwemo Diwani Mbunge pamoja na Mh Rais tena kwa kura nyingi .

Kwa upande wake Mgombea udiwani Elirehema Nko amebainisha vipaombele vyake huku akitamba kwamba yeye ni jembe ambalo linapenda maendeleo .ELIMU YA MSINGI

 

Kuendeleza ujenzi katika madarasa mapya mi Osunyai na kuhakikisha tunapata madawati ya kutosha Kuweka mazingira Rafiki kwa wazazi

kuchangia kwa hiari katika elimu kuongeza

ufaulu zaidi  kuhakikisha wafunzi wanapata muda wa michezo kuimarisha afya zao kila wiki angalau mara mbili.

Habari Picha 2701

 

ELIMU YA SEKONDARY

Kuomba fedha kwenye bajeti ya 2026 na 2027 ya kujenga jengo la utawala secondary ya sombetini iliyopo kwenye kata yangu.

uhakikisha majengo yaliyopo sombetini

secondary yanakarabatiwa angalau kuweka

muonekano mzuri wa kimazingira.

UPAMBANA NA UMASKINI

Pamoja na mafanikio makubwa ambayo

yamepatikana toka tupate uhuru katika jiji

letu na kata yetu ambayo kwa sasa ina umri

wa miaka kumi hivi tutahakikisha wananchi ınawahimiza kufanya shughuli mbalimbali.

Habari Picha 2702
Habari Picha 2703
Habari Picha 2704

kuwaletea kipato,Vile vile kupatiwa TASAF kwa wale ambao wanastahili kwa kupitisha majina yao kwenye vikao mbalimbali.Kuwapatia elimu jinsi ya kuomba mikopo isiyo na riba ya jiji la Arusha .mikopo hii inawahusu,

wanawake Vijana na wenye ulemavu.

Mikopo hii itatolewa kwa uwiano kila mtaa

upate kikundi kinachopewa mkopo kwa

uwazi kulingana na mahitaji ya kikanuni na

kisheria,.

AFYA YA JAMII NA MATIBABU

kipindi cha 2025 hadi 20230 tutaomba bajeti ya kujenga uzio wa Zahanati yetu kuweka usalama wa wagonjwa na salama zaisi.

Kuomba daktarin wa wili aidi au watumishi zaidi Zahanati yetu ya Sombetini iliyopo osunyai ifanye kazi masaa ishirini nan ne badala ya kutwa.

Kuhakikisha zahanati yetu inapati wa heshima ya kituo cha afya ili kuwezankutoa huduma zaidi ya hapa ilipo sasa.

KUZUIA RUSHWA usean Kamati ya Maendeleo ya kata itasimamia maadili na kuhakikisha kuwa hakuna ou wananchi wananyanyaswa katika kupewa huduma Uongozi wetu ambao unawekwa  wananchi kwa njia ya kidemokrasia Maisha wananchi wetu yataangaliwa zail kwenye huduma katika uongozi wa CCM ndani ya kata yetu.

Eidha amejibu hoja ya mwanainchi aliyeuliza kuhusu suala la miundombinu ya maji taka yanayosumbua katika kata hiyo na akiahidi utekelezaji akisgirikiana na wananchi katika awamu ijayo endapo wananchi hao watampa ridhaa ya kuwa Diwani wao.

 

Mwisho

Share This Article
Leave a Comment